Jumapili, 7 Aprili 2013

Kilimanjaro (Official video Final) Warriors from the east band

HII NI VIDEO MPYA KUTOKA KWA KUNDI LA WARRIOURS FROM THE EAST TOKA ARUSHA.

 HAWA NI JAMAA AMBAO WALISHINDA TUZO YA NGOMA BORA YA REGGAE MWAKA JANA KUPITIA TUZO ZA KILI. HUU NI WIMBO UNAOITWA KILIMANJARO AMBAO MWANZO HADI MWISHO UNAUZUNGUMZIA MLIMA KILIMANJARO , KWA KUTAJA SIFA ZAKE NA KUPROMOTE UTALII WA VIVUTIO VYETU NCHINI


 KAMA MDAU UNAOMBWA KUIANGALIA NA KUTOA SUPPORT YAKO KAMA MPENDWA , MDAU NA MPENZI WA MUZIKI WA REGGAE TOKA NYUMBANI TANZANIA


Jumatatu, 18 Machi 2013

Picha ya papa mpya Jorge Mario Bergoglio hii hapa



Papa Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya ataitwa Papa Francis I






 Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya ataitwa Papa Francis

Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya

Papa mpya Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya


Papa mpya aliyechaguliwa niKardinali  Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya

Breaking News!!! Papa amechaguliwa Live fuatilia hapa


3:54 Papa mpya anaonekana ni Jorge Mario Bergoglio wa Argentina ndiye papa mpya

3:50 Gwaride la heshima limejipanga na kuimba wimbo wa taifa la Vatican anasubiriwa kiongozi wa makardinali aje amtangaze papa mpya

3:30 Band maalum inaanza kupita mbele ya kanisa kuu la St. Peter Basillica ni ishara papa mpya ataonekana hivi punde

3:26 Makelele na shangwe nje ya St. Peter Basillica

3:25 Makardinali waliokuwa wamejifungia tayari wamemchagua papa mpya ambaye atamriti papa Benedect wa 16 ambaye amestaafu.

Moshi mweupe umeonekana kwenye bomba la moshi ikiwa ni ishara kuwa makardinali wamekubaliana kumchagua mmoja wao kuwa papa.

Bado papa mpya hajatokea na kujulikana ni nani lakini tayari moshi mweupe umeshaonekana. Endelea kutufuatilia tutakuletea kila kinachoendelea muda mfupi ujao 

Makardinali washindwa kumpata Papa siku ya kwanza


Moshi mweusi ukiashiria hakuna papa mpya aliyechaguliwa siku ya kwanza baada ya makardinali kujifungia katika hekalu maalum, huko Vatican City


Makardinali katika ibada katika kanisa la St. Peter Basillica kabla ya kujifungia kumchagua Papa hapo jana

Siku ya kwanza ya uchaguzi wa papa mpya imeanza na hakuna dalili ya papa aliyechaguliwa baada ya moshi mweusi kuonekana angani kwenye bomba la moshi.

Zoezi la kumchagua papa atakayeongoza kanisa Katoliki duniani lilianza hapa jana Vatican City kwenye jumba maarufu la Sistine Chapel ambalo hutumika kwa ajili hiyo.
Makardinali wapatao 115 akiwepo Mudhama Policarp Kardinali Pengo wa Tanzania ni miongoni mwa walikusanyika kufanya zoezi hilo.
Yoyote kati ya makardinali hao anaweza kuwa papa mpya hivyo Kardinal Pengo naye ana nafasi ya  kuwa papa mpya baada ya Papa Benedict xiv ambaye amestaafu.
Kwa sasa Papa Benedict amepewa jina jipya na ataitwa Papa Emaritus au Papa Emeritus wa Roma. 
Kinachosubiriwa hapo kwa sasa ni moshi mweupe ambao ndio utakaonyesha papa mpya amepatikana na kama hajapatikana baada ya kupiga kura moshi mweusi utaonekana.
Makardinali hao watakaa katika jumba hilo hadi papa apatikane. Hawaruhusiwi kuwasiliana na mtu yoyote na watakuwa wakipiga kura mara nne kwa siku.


Mudhama Policap Kardinali Pengo (kulia)  leo  hii akiwa na Makardinali wenzake Vitican City


Mudhama Policap Kardiali Pengo kushoto akiwa na mmoja wa makardinali hapo jana mjini Vatican



Polisi yafanya upekuzi CHADEMA waondoka na nyaraka





Polisi imefanya upekuzi katika ofisi za makao makuu ya chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kuondoka na nyaraka mbalimbali kwa ajili kupata ushahidi zaidi kuhusu tuhuma zinazomkabili Afisa wa chama hicho Wilfred Lwakatare ambaye alikamatwa na polisi kwa tuhuma za kupanga njama za kuwadhuru baadhi ya watu wakiwemo waandishi.

Jumamosi, 16 Machi 2013

Akamatwa na sehemu za siri za mpwa wake A. Kusini



Ramani ya Afrika Kusini
Mwanamume mmoja nchini Afrika Kusini amekamatwa baada ya kupatikana akiwa na sehemu za siri kwenye pochi lake ambazo zinaaminika kuwa za mpwa wake ambaye hajulikani aliko.
Msemaji wa polisi, aliambia BBC kuwa babada ya kukamatwa kwake , mwanaume huyo aliwapeleka maafisa wa polisi kwenye msitu katika mkoa wa Eastern Cape, ambako mwili uliokatwakatwa ulipatikana.
Kichwa cha msichana huyo pamoja na miguu yake ilikuwa imekatwa na zilipatikana karibu na kiwiliwili chake.
Mtu huyo mwenye umri wa miaka 42, anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji.
Mmwanaume huyo alishtakiwa baada ya kushukiwa kuhusika na kutoweka kwa msichana huyo mwenye umri wa miaka 18, aliyepotoea katika mji wa Ngcobo siku ya Jumapili.
Msemaji wa polisi, Mzukisi Fatyela alisema kuwa sehemu hizo za siri, zilipatikana ndani ya pochi lake.
Alisema sababu ya kuuawa kwa msichana huyo haijulikani na kwamba uchunguzi unafanyika.
Alipoulizwa ikiwa mauaji hayo yanahusishwa na waganga ambapo sehemu za mwili wa watu hutumiwa kwenye madawa yao, bwana Fatyela alisema kuwa hawezi kubaini hilo kwa sasa.
Kumekuwa na visa vingi vya kuuza sehemu za siri za watu katika sehemu nyingi za Afrika kwa sababu sawa na hizo.
Afrika Mashariki imeshuhudia visa vingi vya kuuawa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi au maalbino, huku sehemu za miili yao zikikatwa kwa sababu za kishirikina.
Mwanaume huyo anatarajiwa kufikishwa mahakamani leo.

MATATANI KWA KUGUSHI SAHIHI NA KULAMBA MILIONI 2 ZA MAENDELEO



Watu wawali wamefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Makete kujibu tuhuma za kugushi sahihi na kuandika mhutasari wa kikao hewa na kuchukua zaidi ya shilingi milioni mbili katika akaunti ya mfuko wa maendeleo wa kata ya Bulongwa wilayani Makete
 Mwandishi wa www.francisgodwin.blogspot.com kutoka Makete , Edwin Moshi anaripoti kuwa ,Akitoa taarifa hiyo kwa wanahabari ofisini kwake mwendesha mashitaka wa Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Bw. Frednandi Nsakuzi amewataja watuhumiwa hao kuwa ni aliyekuwa diwani wa kata ya Bulongwa Estomin Mahenge na mwenzake Edwin Swallo ambaye alikuwa mtendaji wa kijiji cha Bulongwa ambapo mpaka anafanya tukio hilo alikuwa anakaimu ofisi ya mtendaji wa kata ya Bulongwa 
Watuhumiwa hao waligushi sahihi na kuandika mhutasari wa kikao hewa na kwenda katika benki ya Nmb tawi la Makete na kuchukua zaidi ya shilingi millioni mbili kwenye akaunti ya mfuko wa maendeleao ya kata ya Bulongwa wakidai kuwa ni kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari Usililo ambapo  mhutasari huo upo TAKUKURU

Watuhumiwa hao walifikishwa mahakamani  hapo jana  kwa tuhuma hizo na walikana mashitaka yanayowakabili ambapo kesi hiyo inatarajiwa kutajwa tena Machi 23 mwaka huu katika mahakama wilaya Makete na watuhumiwa hao wapo nje kwa dhamana

MAMA MTU MZIMA MAHAKAMANI KWA KUFANYA MAPENZI NA WATOTO WAWILI,MTU NA MDOGO WAKE,MMOJA MIAKA 15 MWINGINE 17,APATA UJAUZITO ASHINDWA KUJUA NI WA NANI KATI YAO



Mama mmoja aliyeolewa na mwenye watoto watatu ambae anaishi Hull, Uingereza, amefikishwa mahakamani baada ya kugundulika kuwa alipata ujauzito baada ya kufanya mapenzi kwa wakati mmoja na mtoto wa shule, mmoja mwenye miaka 15 na kaka yake mwenye miaka 17.
Mama huyo anaejulikana kwa jina la Claire Louise Roundil(32), alimnasa mtoto wa miaka 15 kimapenzi baada ya kumuonesha picha zake zaidi ya mia moja akiwa mtupu, picha zilizoonesha zaidi sehemu za matiti.
Baada ya kumteka akili na hizo picha mama huyo alimpeleka chocho na akampa huyo mtoto share ya mmewe. Lakini aliendelea kumbadilishia location mara kwa mara ili kumpa mzuka zaidi wa kufanya nae sex.
Ripoti ya polisi ilionesha kuwa mama huyo alikuwa pia na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake huyo mtoto na alimpata kwa style ile ile kama alivyomnasa mdogo wake, yaani kumuonesha picha zake akiwa mtupu kisha anamteka akili na kumpeleka kajificheni kumpa burudani, na mara nyingine shughuli iliishia kwenye gari la mama huyo.
Hata hivyo uchunguzi wa polisi ulionesha kuwa baada ya mama huyo kupata ujauzito ilimbidi autoe, na alipoulizwa alisema kuwa hata aliyempa mimba hamjui kati ya hao watoto wawili kwa sababu alikuwa anafanya nao mapenzi wote.
Moja kati ya sababu za kufanya hivyo imesekana kuwa alikuwa na matatizo makubwa katika ndoa yake na matatizo ya kifedha ambavyo vyote viliichanganya sana akili yake.
Na hivyo ikaonekana kuwa “She is not the type of defendant the court needs to send to prison immediately.”  Na akapewa kile kifungo kinachoitwa kisheria “suspended sentence” baada ya kukiri tuhuma zote. Ikimaanisha aliwekwa chini ya uangalizi mkali wa mahakama kwa muda wa miezi tisa.
Na wakati wa kutoa hukumu jaji John Dowse alimwambia mahakama itaweka kumbukumbu ya haya mashtaka, na kwamba ajue kuwa anarekodi hii maisha yake yote.
Hata hivyo baba mzazi wa wavulana hao alisikika akilalamika akisema “kama ingekuwa ni mwanaume ndiye kafanya mapenzi na msichana wa miaka 15 angefungwa hata bila kutia mashaka, lakini kwa sababu ni mwanamke ndo kafanya hivi kwa wavulana kaachiwa, she took advantage of both my son, mwanangu mkubwa alipomuacha akamrukia mdogo, alikuwa amepanga yote haya. Akamaliza kwa kusema “It was disgusting what she did.”
Haya kila kubwa lina Kubwa Lake, na hili ni miongoni mwa makubwa.

Ruaha National Park

INTRODUCTION

Ruaha national park is one of the few Tanzania’s famous wilderness area where one can have a rare experience of game viewing spiced up by the fascinating landscape. The park is rich of plants and animals such as Greater Kudu (Tragelaphus  strepsiceros) which can not be found in any other national park. The park boasts of her almost untouched and unexplored ecosystem, making visitors’ safari experience very unique.
The Great Ruaha River as other rivers like Mwagusi, Jongomero and Mzombe save as the life line of the park. During dry season, these rivers become mostly the main source of water for wildlife. There are few natural springs saving the same purpose.
In the pick of dry season, elephants obtain water from dry sand rivers using their front feet and trunks. The remaining water falls along the Great Ruaha River are also important habitat for hippopotamus, fish and crocodiles.

CLIMATE

Ruaha National Park has a bimodal pattern of rain forest; the short rainfall season begins November to February, while the long season is between March and April. The annual mean rainfall ranges between 500mm-800mm with the average annual temperature of about 280c. The park experiences its dry season between June and October when the temperature at Msembe headquarter reaches 350c.

PARK HISTORY

The park history dates back to 1910 when it was gazetted Saba Game Reserve by the Germany then the name was changed by British to Rungwa Game reseve in 1946. In 1964 the southern portion of the Game was gazetted as Ruaha national park and in 1974 a small section of South Eastern part of the Great Ruaha River was incorporated into the park. The name “Ruaha” originates from the Hehe word “Ruvaha”, which means “river”. Ruaha National Park is part of Rungwa-Kizigo –Muhesi ecosystem which covers more than 45000km2. In 2008 Usangu game Reserve and other important wetlands in Usangu basin have been annexed into the park, making it the largest park in Tanzania and East Africa with an area of about 20226km2.

PARKS SIGNIFICANCE

Ruaha National Park has a high diversity of plants and animals including elephants, buffalos, antelopes and some of rare and endangered species like wild dogs. The park serves as water shade both for wildlife and human being. This makes it to be economically significant as it supports agricultural activities down stream and contributes to hydro- electric power (HEP) for the country at Mtera and Kidatu dams.

TOURISM ATTRACTIONS

Birds

The park is one of the Tanzania birds’ paradise with more than 571species and some of them are known to be migrants from within and outside Africa. Migrating species from Europe, Asia, Australian rim and Madagascar have been recorded in the park. Species of interest in the park include Ruaha red-billed hornbill (Tokus ruahae) which is dominant in the area. The recently annexed wetland, the Usangu basin is one of the country’s important bird area (IBA) as recognized by Birdlife International. Though birds can be seen all the year around, the best time for bird watching is during the wet season.

Animals

Ruaha is believed to have high concentration of elephants than any national park in East Africa. It is also a place where, magnificent mammals like Kudu (both Greater and Lesser), Sable and Roan antelopes can easily be spotted in Miombo woodland. The male Kudu have beautiful spiraled horns while male Sable antelope have impressive curved horns. The park is also a habitat for endangered wild dogs. Other animals in the park include lions, leopards, cheetah, giraffes, zebras, elands, impala, bat eared foxes and Jackals.

Reptiles and Amphibians

Apart from large animals, the park also harbors a number of reptiles and amphibians such as crocodiles, poisonous and non-poisonous snakes, monitor lizards, agama lizards and frogs. The Great Ruaha and Mzombe rivers are presumably the most preferred habitat for crocodiles.

Vegetation

The park is characterized by semi-arid type of vegetation, baobab trees, Acacia and other species. There are over 1650 plant species that have been identified. The park is the transitional point of two vegetation zones, the Zambezian (characterized by Miombo vegetation) and Sudanian (characterized by Acacia vegetation).

Historical and cultural sites

There are several historical and cultural sites in the park which offer a visitor a chance to explore the Southern Tanzanian tribes. The early trade routes used by the Arab caravan crossed here. In 1830 these coastal traders expanded their routes northward, and in year 1857 to 1858 other European explorers such as Burton and Speke used these routes too. Chief Mkwawa used the same routes to visit his chiefdoms in Sangu and Gogo.
The park area often hailed as the land of the brave Chief Mkwawa, the Chief of the hehe people who resisted against the German attack in the late 19th century. The fierce and successful battle tactics against the German invasion made the Hehe tribe famous in the Southern highland of the then Tanganyika (Tanzania). The Hehe tribe under the leadership of chief Mkwawa was dominant around the Ruaha area. Some of the outcrops in the area are known as hiding places of chief Mkwawa who went into hiding after the fall of his empire (kalenga) to the German in 1894.
In brief, it is believed that, this ancient land (Ruaha National Park) holds many secrets of chief Mkwawa.
Some of the cultural sites that were used for rituals are “Ganga la Mafunyo”, Nyanywa and Chahe, Painting rock at Nyanywa, the “Gogo”  chief “Mapenza” grave at Mpululu and “Mkwawa” spring area believed to be used by Chief Mkwawa. Other historical sites near the park include Isimila pillars near Iringa town, Kalenga, Mlambalasi, Lugalo and God’s bridge just to mention a few.

Physical feature

Ruaha National Park has a wide range of physical features from the Great Rift Valley, river systems, natural springs, wetlands, hot water springs, and kopjes to the beautiful rolling hills and mountains.

Rivers

The river systems and watershed are of economical, social and ecological significance for the park itself and country at large. Main rivers include the Great Ruaha, Mzombe, Mdonya, Mwagusi and Jongomero.

Rift valley

The Great Rift Valley crosses the park. The escarpment wall along the western valley side is about 50-100m high in the north-eastern parts, increasing in height to the southwest. It is considered that, the valley of the Great Ruaha River is an extension of the Great Rift Valley. The Great Ruaha River flows for 160km long along the entire eastern boundary through rugged gorges and open plains.

Natural springs

They occur throughout the park and they are associated with the base of the Western Rift Valley escarpment, most notably Mkwawa, Mwayembe, Makinde and Majimoto springs. These are dry season refugees for wildlife and when most of the rivers get dry.

Undulating landscape

The park has undulating land and hills including kilimamatonge, Nyamasombe, Nyanywa, Chariwindwi, Igawira, Mwayiui, Kibiriti, Magangwe, Ndetamburwa and Isukanvyiola. These act as kopjes creating good habitat for animals such as klipspringer which normally can be seen in some of these hills.

TOURISM ACTIVITIES

Tourism activities in the park include Game viewing, long and short wilderness walking safari, bird watching, picnic, bush meals (break-fast, lunch, dinner) in the untouched bushes.

Best time to see the wildlife

Best time to see predators and large mammals is during the dry season (mid May-December).
The wet season (January –April) is best for bird watching, lush scenery and wildflowers. The male Greater kudu is most visible in June which is their breeding season.

How to get there

By air

There are both scheduled and chartered flights into the park mainly from Arusha, Dodoma, Kigoma and Dar-es-salaam. Park’s airstrips are located at Msembe and Jongomero

By road

It is about 130km drive from Iringa town and 625km from Dar-es-salaam city.
The road into the park is passable throughout the year.

Accommodation

There are park and privately owned facilities

Park facilities

Are as follows
  • Self catering tourist bandas
  • Special camping sites
  • Public camping sites
  • Rest house
  • Hostel for school groups
  • Park cottages
  • Family cottage
  • Single room with sitting room
  • Single room without sitting room

Private facilities

Inside the park
There are several luxury tented camps operating in the park such as Jongomero, Kigelia, Mwagusi safari, Old Mdonya River, Kwihala and Flycatcher and one lodge namely Ruaha River lodge. These are privately owned.
Outside the park
There are several accommodation facilities just outside the park: these are hill top lodge, Sunset lodge, Tandala tented camp to mention a few.

General Park Rules and Regulations

Kindly abide to the following park rules and regulations
  • Do not disturb or feed animals.
  • Do not make noise or any sort of disturbance which offend other visitors
  • Do not pick or destroy flowers and plants
  • Littering, burning cigarettes or matches is strictly prohibited
  • Pet are not allowed in the park
  • Never go for a walking safari without park official armed guides/rangers
  • Always stay on the authorized trails during walking safaris
  • Hunting, collection of plant and animal samples is not allowed
  • Tourism activities should be conducted between 6am and 7pm. For the rest of the time, visitors are expected to be in their accommodation places (i.e. lodges, camps and/or campsites)
  • Off road  driving is strictly prohibited

The management and staff of Ruaha National Park welcome you and hope you will enjoy your stay in the park

park poster

Ruaha National Park poster

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...